webnovel

dawn of love

作者: kidoo12
奇幻言情
連載 · 1.6K 流覽
  • 2 章
    內容
  • 評分
  • N/A
    鼎力相助
摘要

Chapter 1chapter one

It's not what you think

Aisha pov

Hi are you okay " Mike alimtumia ujumbe wa Saut Aisha

"I'm fine thanks but I'm not in a mood of talking to you "Aisha alimjibu Kwa njiaya message

"

Okay nilitaka nikuone ili nijue kama upo saw Asante"Mike alimjibu akiwa nje ya nyumba ya kina Aisha alikimuangalia kupitia dirishani

Poa" Aisha alimjibu na kuelekea dirishani kufunga dirisha alishtuka baadae ya kumuona Mike yupo nje kwao alirudi ndan haraka na kuchukua simu yake

"Mike unataka Nini lakin"

"Aisha can we talk please nataka kuomba msamaha"Mike alimjibu Aisha

"but nimekuambia sitak kuongea na wewe please naomba uondoke Mike "

Wakiwa bado wanajibizana Kwa njia ya simu nje kulikua na upepo mkali pamoja na ngurumo za Radi na mvua Kali ilikua ikinyesha but Mike hakujali kunyeshewa alichohitaji Ni msamaha WA Aisha pekee

"Aisha naomba kuongea na wewe hata kidogo tu please siwezi kulala ukiwa umenikasirikia"Mike alituma ujumbe mwingine Kwa Aisha

Aisha hakujibu alisimama nakuelekea dirishani alimuona Mike akiwa anatetemeka roho ya huruma ikamuingia akamkaribisha Mike ndani

"Karibu ukae nkakutafutie nguo za kubadirisha ili eweze kukausha nguo zako "Aisha aliongea na kuelekea chumban kwake na kumuacha Mike akiendelea kushanga mapambo ndani ya jumba kubwa la mzee masabo baba ake Aisha

"Hizi apa unaweza nenda chumban cha pili kubadirisha"Aisha aliongea huku akimpatia Mike nguo zake anazoamini Ni kubwa kumtosha Mike

"Mike aliziangalia hizi nguo Kisha akazipokea na kumuangalia Tena Aisha

"Wait mbona unaniangalia Ivo hizi ndo nguo kubwa nlizonazo kama unaona Ni mbaya unaweza Rudisha"aliongea Aisha

***************

Monica pov

"Mom naenda Kwa Aisha "aliongea Monica

"Monica hii mvua ya Leo wametangaza takua na upepo mkali hivo watu wasitembee nje saw

But mom "

"No but here subir mvua iishe ndo unaenda "aliongea bi grace mama ake Monica

"Okay mama ntasubiri maana tukianza kubishana hapa tutaongea mpaka kesho "aliongea Monica na kuelekea chumban kwake

*********

Aisha pov

"No just forget it "Mike alielekea chumban cha pili kubadirisha nguo na kurudi Tena sebuleni Aisha akimpatia chai ili aweze kupunguza baridi maana alikua akitetemeka sana

"Asante Aisha"Mike alipokea chai na kushukuru

Poa unaweza ukakaa hapo mpaka mvua itakapo iishe "Aisha aliongea na kuendelea kuangalia simu yake

"Aisha me sijui Monica amekuambia kitu gani but Mimi naomba unisamehe nlikua najaribu kuelezea hisia zangu tu but if you are not feeling the same it's okay tunaweza endelea kuwa marafiki"Mike alizungungumza akimuangalia Aisha ambae muda wote alikua busy na simu na hakujibu chochote

"And if you love Nelson it's okie me I just need us to be friends like before sitaki nilichokuambia kiharibu urafiki wetu tafadhali"Mike akiendelea kuongea

Aisha alimuangalia na kucheka tu Kisha akaendelea kuangalia simu yake

"Please Aisha say something"

"Mike unataka niongee Nini mmmh okay nimekusamehe but I don't think we can continue to be friends"

"But why is it because of Monica or Nelson mmmmh if you like Nelson it's okie as long as uko na furaha and kuhusu Monica she is my friend and my sister in law only there nothing between us"aliongea Mike

"First of all I'm not in love with Nelson lakin pia Monica Ni rafiki angu and you broke her heart how can I continue to be friends with you mmmmh unataka Monica anifikiriaje like you lied to her Mike you lied "

"No Aisha me kweli sijui Monica amekuambia Nini but sijamdanganya tuliachana because she wanted us tuachane and she is the one who broke my heart not me "

"Hivi Mike ni wasichana wangapi umewadanganya mm you think just by saying those words naeza kukuonea huruma and then nkukubali noooo I'm that kind of girl I DON'T LOVE YOU MIKE wewe Ni muongo

Wakati Aisha akiendelea kuongea maneno hayo Mike baridi ulikua imemuingia sana na chai haikumsaidia kitu hivo alianza kutetemeka Kwa Kasi

"Mike stop it okay it's not fun as you think okay

"No Aisha I'm not joking nahisi baridi kweli "Mike aliongea huku Saut ikitoka Kwa shida

"Haaah you can't fool me mvua imeisha you can go now

***********

Monica pov

Mama Mimi naondoka now mvua imeisha "Monica aliongea Kwa saut

"Sawa mpe hi mwambie asisahau kuhusu ile dinner jumapilia Sawa

"Oooh yeah mama ushaongea na watu WA mapambo na keki "Monica alimuuliza mama ake

"Ndio mpenzi nshaandaa kila kitu wewe hakikisha wanakuja hiyo jumapilia Sawa "okay mom

Bi grace alikua Ni rafiki WA karibu sana WA mzee masabo na marehemu mke wake bi Mariam na huwa anahakikisha Aisha anapata mapenzi ya mama kutoka kwake japokuwa mama ake amefarili hivo yeye pamoja na Monica walikua wameandaa mpango WA kumfanyia suprise birthday party Aisha

Monica aliondoka na kuelekea nyumbani kwao Aisha

*****************

Aisha pov

Mike hali ake ilizikua mbaya baridi likamzidia akawa anaishiwa nguvu kabisa Aisha akamsogelea

"Mike Mike oa Mike wake up bana me nashaanza kuogopa eti "

"Ba baridi "Mike aliongea Kwa shida

"Okay unataka nsifanye Nini"

"Shuka tafadhali naomba unileteee shuka".

"Okay Aisha alikimbia kuelekea chumban kwake kuchukua shuka"aliporudi alimkuta Mike kazidiw Zaidi hawezi kuongea WALA kufumbua macho alimfunika haraka na kumkumbatia

"Mike please don't leave me please"

Wakati huo Monica alifika na kuingia ndani akiwa na furaha hakuamini alipoona Aisha na Mike wamekumbatiana ndani ya shuka moja

"No no no "Monica aliongea Kwa sauti Hali iliyomfanya Aisha ageuke na kuona Monica akitoka machozi

"No Monica it's not what you think he is sick that why "Aisha alijaribu kumuelezea but Monica hakutaka kusikia chochote analifungua mlango na kuondoka

**********

Author pov

I don't know Nini kitatokea follow me for more votes for the story na maoni yenu guys

你也許也喜歡

評分

  • 全部評分
  • 寫作品質
  • 更新穩定度
  • 故事發展
  • 人物形象設計
  • 世界背景
評論
哇! 如果您現在填寫評論,您將會是第一個評論的人!

鼎力相助